Ni kikao cha wafanyabiashara Same na DC Same pamoja na watendaji wengine wa taasisi za serikali. Waeleza kero na vikwazo katika biashara. Swala la lugha za watendaji lalalamikiwa zaidi. Makadirio ya kodi nalo lasemwa. Wataalamu toka TRA, TBS, TIC, TCCIA, Halmashauri na mamlaka ya mji mdogo watoa maelezo na majibu ya kero. DC aeleza matarajio ya ...
Waziri wa Mambo ya ndani Mh. Mwigulu Lameck Nchemba Awa Waziri wa kwanza kufika Kijiji cha Makasa, Kata ya Kirangare, Wilaya ya Same
Waziri wa Mambo ya ndani Mh. Mwigulu Lameck Nchemba Awa Waziri wa kwanza kufika Kijiji cha Makasa, Kata ya Kirangare, Wilaya ya Same. Apanda milima ambayo wengi wanaigopa. Ahimiza Umuhimu wa amani na kila mtu kuhakikisha inalindwa. Atangaza hatari kwa wastawishaji wa mirungi, kwani sheria mpya inaruhusu kutaifisha mashamba. Ashiriki Harambee ya ujenzi wa kanisa. Wananchi ...
TAHOSA YAPANIA KUPANDISHA UFAULU SAME. Kikao cha Wakuu wa Shule za Sekondari Wilaya ya Same chafanyika Tar. 21/03/2018. 🔰 Wakusudia kutoka nafasi 21 hadi ya kumi bora kitaifa.. 🔰Wajipongeza kuongeza ufaulu toka nafasi ya 68 hadi 21. 🔰Waeleza changamoto ya utoro wa wanafunzi kama kikwazo cha ufaulu. 🔰Wamuomba DC kuwa mlezi wao. DC Same aliyekuwa mgeni rasmi kwenye ...
NGO ya VOEWOF yadhamiria kuimarisha matumizi ya nishati mbadala Wilayani Same
NGO ya VOEWOF yadhamiria kuimarisha matumizi ya nishati mbadala Wilayani Same.. Katika kikao kilichofanyika Tar 20/03/2018. Wadau wa mazingira walieleza sababu zinazopelekea watu kutochangamkia nishati mbadala pamoja na juhudi za serikali na wadau kuhimiza matumizi yake. Baadhi ya sababu zinazotajwa ni:- Kutopatikana nishati hiyo vijiji Mf. gas Gharama kubwa ya nishati mbadala, ...
Wadau Wetu
Karibu Tena Same Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo ...