0 comments

AWF YAWAKUTANISHA WAFUGAJI NA MBUGA YA TAIFA MKOMAZI

*AWF YAWAKUTANISHA WAFUGAJI NA MBUGA YA MKOMAZI ~ SAME.* 🔸Viongozi wa wafugaji kutoka Wilaya 5 za Mkoa wa Kilimanjaro na Tanga wakutana kujadili juu ya maendeleo yao na jinsi wanavyoweza kushirikiana na Mkomazi ili kuboresha maisha yao.🔸AWF waeleza dhamira yao ya kuona wafugaji wanajua faida ya Mkomazi na fursa kwao na kutaka kubadilisha maisha ya wafugaji kwa kufanya ufugaji ...

0 comments

WAJASILIAMALI WADOGO SAME WAMPONGEZA RAIS

*WAJASILIAMALI WADOGO SAME WAMPONGEZA RAIS* Katika kuhamasisha vitambulisho vya wajasiliamali. Wajasiliamali wadogo wamemshukuru Rais Mh. Dr. John Pombe Magufuli kwani tangu wameanza kutumia vitambulisho hivyo. Wamefanya biashara kwa amani. 🔥DC Same akihamasisha uchukuaji wa vitambulisho hivyo kata ya Hedaru na Maore. Amewakumbusha dhamira njema ya Mh. Rais na faida watakayoipata ...

0 comments

CWT SACCOS YACHANGIA HUDUMA ZA AFYA SAME

🔹Ni SACCOs ya Chama Cha Walimu Wilayani Same wakabidhi mashuka 100 Na mablanket 200 vyenye thamani ya Tshs. 2.89M, Katika hospitali ya Wilaya ya Same.🔹Mkt. wa CWT SACCOS Same Ndugu Mchome aeleza mkakati wa chama wa kurudusha huduma kwa wateja wao na kuihudumia jamii, kila mwaka hutenga fedha kwa ajili ya kuhudumia jamii. Ambapo pia mwaka 2017 walitoa vifaa na kufikisha thamani ...

0 comments

*HIVI NDIYO TULIVYOMALIZA MWAKA 2018 ~ SAME*

💧Ni ziara kijiji cha Mhezi kuzindua ujenzi wa mradi wa Maji, unaofadhiliwa na Rotary Club ya Same, Ames noon - Ames - Iowa USA na Rotary international utakaogharimu zaidi ya Tshs 800 M hadi kukamilika kwake.💧Waaanza kupanda miti eneo la chanzo cha maji ambapo miti rafiki ya maji ipatayo 75 imepandwa, kung'oa visiki eneo la kujenga tanki, Kuchimba barabara ya kupitisha malighafi ...