🔹Ni SACCOs ya Chama Cha Walimu Wilayani Same wakabidhi mashuka 100 Na mablanket 200 vyenye thamani ya Tshs. 2.89M, Katika hospitali ya Wilaya ya Same.🔹Mkt. wa CWT SACCOS Same Ndugu Mchome aeleza mkakati wa chama wa kurudusha huduma kwa wateja wao na kuihudumia jamii, kila mwaka hutenga fedha kwa ajili ya kuhudumia jamii. Ambapo pia mwaka 2017 walitoa vifaa na kufikisha thamani ...
9:56 PM
💧Ni ziara kijiji cha Mhezi kuzindua ujenzi wa mradi wa Maji, unaofadhiliwa na Rotary Club ya Same, Ames noon - Ames - Iowa USA na Rotary international utakaogharimu zaidi ya Tshs 800 M hadi kukamilika kwake.💧Waaanza kupanda miti eneo la chanzo cha maji ambapo miti rafiki ya maji ipatayo 75 imepandwa, kung'oa visiki eneo la kujenga tanki, Kuchimba barabara ya kupitisha malighafi ...