Uzinduzi Ulifanyika katika kilele cha mlima shengena kwenye hifadhi ya msitu wa Chome umbali wa km 2462 toka usawa wa bahari. Washiriki 160 wapewa cheti cha kufika kileleni. 🌲Mpango wa mazingira utaunganisha Mbuga ya Mkomazi, msitu wa Chome, kilele cha Shengena na utalii wa asili. Kutengeneza kifurushi (package) cha utalii na kuipa jina maalumu (brand). 🌲Utekelezaji ...
4:24 AM
SAME YATAKA KUIMARISHA LISHE.
Posted by Wilaya ya Same |
Kamati ya Lishe yazinduliwa Wilayani Same. Yahimizwa kuhakikisha Inapunguza kiasi cha udumavu Kutoka 29% ya sasa, ambayo Ndiyo ya Mkoa mzima wa Kilimanjaro. Tanzania ya viwanda Na ya uchumi wa kati inataka watu wenye Lishe bora watakao kuwa Na akili nyingi, wabunifu Na wenye vipaji vya kufanya mambo makubwa. Yote hayo yanachangiwa Na Lishe bora. Alisema DC wa Same Mh. ...
3:26 AM
Ni katika Ziara yake ya kutembelea nchi za Afrika iliyoanzia nchini Namibia, Tanzania na baadaye Kenya na kwingine. Akaa Tanzania siku nyingi zaidi. Na katika siku hizo 3; siku 2 apata mapumziko binafsi Wilayani Same, eneo la Mkomazi. Afurahia mazingira ya asili yaliyoko Mkomazi aahidi kurudi tena. Aonyesha dhamira ya kusaidia mapambano dhidi ya ujangili ...