💠Kikao kilichoitishwa na Viongozi wa Wilaya ili kuweka mikakati ya kumaliza mwaka 2018 na kuanza mwaka 2019.Kikao kilimuhusisha DC Same, DAS, DED, TAKUKURU, wakuu wa idara, A/tarafa, watendaji kata na vijiji. 7💠Wakumbushwa kujituma, uaminifu na ukusanyaji mapato katika maeneo yao. Pia kuhakikisha wanatatua kero za wananchi kwa wakati. Wakumbushwa kukamilisha ujenzi wa ...
NGARITO TUKIFANYA SAME IMEFANYA
NGARITO TUKIFANYA SAME IMEFANYA 🔸Ni vijana 52 walioamua kukaa kambini kwa siku 5 mfululizo ili kuhakikisha wanakamilisha ufunguzi wa barabara itakayounganisha kitongoji cha Gavao ngarito, kata ya Gavao Saweni na kitongoji cha Gundusine kata ya Hedaru ili kurahisisha upatikanaji wa huduma na usafirishaji wa mazao. 🔸DC Same aliungana na vijana hao kulima barabara pamoja na kukagua ...
WILAYA YA SAME KUWA WILAYA YA KWANZA KUTENGENEZA MPANGO MKAKATI WA MAZINGIRA NA UTALII 2018-2023
Uzinduzi Ulifanyika katika kilele cha mlima shengena kwenye hifadhi ya msitu wa Chome umbali wa km 2462 toka usawa wa bahari. Washiriki 160 wapewa cheti cha kufika kileleni. 🌲Mpango wa mazingira utaunganisha Mbuga ya Mkomazi, msitu wa Chome, kilele cha Shengena na utalii wa asili. Kutengeneza kifurushi (package) cha utalii na kuipa jina maalumu (brand). 🌲Utekelezaji ...
SAME YATAKA KUIMARISHA LISHE.
Kamati ya Lishe yazinduliwa Wilayani Same. Yahimizwa kuhakikisha Inapunguza kiasi cha udumavu Kutoka 29% ya sasa, ambayo Ndiyo ya Mkoa mzima wa Kilimanjaro. Tanzania ya viwanda Na ya uchumi wa kati inataka watu wenye Lishe bora watakao kuwa Na akili nyingi, wabunifu Na wenye vipaji vya kufanya mambo makubwa. Yote hayo yanachangiwa Na Lishe bora. Alisema DC wa Same Mh. ...
Ni katika Ziara yake ya kutembelea nchi za Afrika iliyoanzia nchini Namibia, Tanzania na baadaye Kenya na kwingine. Akaa Tanzania siku nyingi zaidi. Na katika siku hizo 3; siku 2 apata mapumziko binafsi Wilayani Same, eneo la Mkomazi. Afurahia mazingira ya asili yaliyoko Mkomazi aahidi kurudi tena. Aonyesha dhamira ya kusaidia mapambano dhidi ya ujangili ...
SAME DISTRICT COMMISSIONER PLANS “TO BRING THE WORLD TO SAME”
SAME DISTRICT COMMISSIONER PLANS “TO BRING THE WORLD TO SAME” Letter from Moshi, Mkomazi, Ngorongoro, Serengeti and Zanzibar, Invoking her most popular slogan of “Same is not same”, H.E. Rosemary Seyamule cut teeth with Tanzania’s with Vocational Education and Training Authority (VETA) and the government system to groom leadership from the ruling party’s hierarchy. As ...
Ni kikao cha wafanyabiashara Same na DC Same pamoja na watendaji wengine wa taasisi za serikali. Waeleza kero na vikwazo katika biashara. Swala la lugha za watendaji lalalamikiwa zaidi. Makadirio ya kodi nalo lasemwa. Wataalamu toka TRA, TBS, TIC, TCCIA, Halmashauri na mamlaka ya mji mdogo watoa maelezo na majibu ya kero. DC aeleza matarajio ya ...
Waziri wa Mambo ya ndani Mh. Mwigulu Lameck Nchemba Awa Waziri wa kwanza kufika Kijiji cha Makasa, Kata ya Kirangare, Wilaya ya Same
Waziri wa Mambo ya ndani Mh. Mwigulu Lameck Nchemba Awa Waziri wa kwanza kufika Kijiji cha Makasa, Kata ya Kirangare, Wilaya ya Same. Apanda milima ambayo wengi wanaigopa. Ahimiza Umuhimu wa amani na kila mtu kuhakikisha inalindwa. Atangaza hatari kwa wastawishaji wa mirungi, kwani sheria mpya inaruhusu kutaifisha mashamba. Ashiriki Harambee ya ujenzi wa kanisa. Wananchi ...
TAHOSA YAPANIA KUPANDISHA UFAULU SAME. Kikao cha Wakuu wa Shule za Sekondari Wilaya ya Same chafanyika Tar. 21/03/2018. 🔰 Wakusudia kutoka nafasi 21 hadi ya kumi bora kitaifa.. 🔰Wajipongeza kuongeza ufaulu toka nafasi ya 68 hadi 21. 🔰Waeleza changamoto ya utoro wa wanafunzi kama kikwazo cha ufaulu. 🔰Wamuomba DC kuwa mlezi wao. DC Same aliyekuwa mgeni rasmi kwenye ...
NGO ya VOEWOF yadhamiria kuimarisha matumizi ya nishati mbadala Wilayani Same
NGO ya VOEWOF yadhamiria kuimarisha matumizi ya nishati mbadala Wilayani Same.. Katika kikao kilichofanyika Tar 20/03/2018. Wadau wa mazingira walieleza sababu zinazopelekea watu kutochangamkia nishati mbadala pamoja na juhudi za serikali na wadau kuhimiza matumizi yake. Baadhi ya sababu zinazotajwa ni:- Kutopatikana nishati hiyo vijiji Mf. gas Gharama kubwa ya nishati mbadala, ...
Wadau Wetu
Karibu Tena Same Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo ...